paroles de chanson / Eric Wainaina parole / Mariana lyrics  | ENin English

Paroles de Mariana

Interprète Eric Wainaina

Paroles de la chanson Mariana par Eric Wainaina lyrics officiel

Mariana est une chanson en Swahili

Mariana Mariana
Nimechoka kusota
Nimeamua leo ni leo
Nitabadili picha

Mariana Mariana
Niliomba unipe mwaka
Usitupe upendo wetu
Na usiamke kutoka ndoto yetu

Nilinunua baiskeli
Kupitia mkopo wa benki
Kusafirisha abiria
Lakini ili ibiwa

Mariana Mariana
Ulitafuta visa
Ya nchi ya Uropa
Utaniacha juu ya pesa

Hakuna atakayeweza
Kukupenda vile nakupenda
Najua upendo hauliwi
Lakini moyo haudanganywi

Nilinunua shamba
Na nilipanda mimea
Ya kuuza marikiti
Lakini ukame ukanirudisha magotini

Mariana Mariana
Nilikuwa nimechoka
Kwa vile umaskini
Utafanya unitoroke

Mariana Mariana
Nilikomboa bunduki
Niliamua leo ni leo
Nilikuwa na mpango mufti

Kama vile kwenye movie
Nilingia kwa benki
Nilisema lala chini
Nikajaziwa tikiti (oooooh)

Basi mimi ni huyo
Nikajivuta upesi
Nikauficha mzigo
Na nimeiba gari
Naenda mwendo kasi
Lakini kasi haishindi risasi
Zinanyesha kama mvua
Naomba Mungu atanipokea


Mariana
Ukiulizwa kwa nini
Kwa makumbusho yangu
Waelze nilikataa kuishi
Na matumaini pekee
Mariana Mariana
Jambo la mwisho
Kwa mizizi ya mti wetu
Nimekuachai zawadi
Ili usinitoroke
Droits parole : paroles officielles sous licence Lyricfind respectant le droit d'auteur.
Reproduction des paroles interdite sans autorisation.
Auteur: Eric Wainaina

Commentaires sur les paroles de Mariana

Nom/Pseudo
Commentaire
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - Tous droits réservés. www.paroles-musique.com
Connexion membre

Se connecter ou créer un compte...

Mot de passe oublié ?
OU
CREER COMPTE
Sélectionnez dans l'ordre suivant :
1| symbole à droite de l'horloge
2| symbole en haut de la calculatrice
3| symbole à gauche du nuage
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid