Paroles de la chanson Nani Mjinga par Eric Wainaina lyrics officiel
Nani Mjinga est une chanson en Swahili
Nani mjinga
Nani mjinga
Basi, nani mjinga
Nani mjinga
Haki, sio mimi
Nani mjinga
Haki, sio mimi
Basi, nani mjinga
Haki, sio mimi
Usiwai ogopa mwizi ambaye atakukuibia kibeti
Pengine ogopa yule ambaye amekalia kiti cha enzi
Anakuchekesha
Anakuigiza
Aongea kwa misiba
Marehemu akichomwa na jua
Twanyosha mikono twaiuza soko
Kwa bei ya t-Shirt moja
Bwana Mkubwa umepotea mda
Nipige jeki ya soda
Umejiongezea mshahara
Umeiba dawa za Corona
Pengine ni save hii nauli
Nikutembelee Kamiti
Nani mjinga
Haki, sio mimi
Nani mjinga
Haki, sio mimi
Basi nani mjinga
Haki, sio mimi
Ajitokeze tumuone
Nani mjinga
Haki, sio mimi
Nani mjinga
Haki, sio mimi
Basi nani mjinga
Haki, sio mimi
Ajitokeze tumuone
Nikiulizwa kwa maoni yangu
Tuko wengi kama siafu
Viongozi watucheza kadi
Wanatupiga bafu chafu
Kama mwenda wazimu
Nje ya marikiti
Tumesimama uchi
Tukisuka mavuzi
Shamba ni letu
Lakini meneja amekuwa mjasiri
Hajali mchana
Kwa upanga amekata shimo mpakani
Apitisha ng'ombe
Faranga na mbuzi
Aziuza sokoni
Eti zimezama mtoni
Nani mjinga
Haki, sio mimi
Nani mjinga
Haki, sio mimi
Basi nani mjinga
Haki, sio mimi
Ajitokeze tumuone
Nani mjinga
Haki, sio mimi
Nani mjinga
Haki, sio mimi
Basi nani mjinga
Haki, sio mimi
Ajitokeze tumuone
Ewa ewa ewa ewa
Ewa ewa eee!
Ewa ewa ewa ewa
Ewa ewa eee!
Ewa ewa ewa ewa
Ewa ewa eee!
Ewa ewa ewa ewa
Ewa ewa!
Tunaitisha Barabas
Yesu akifa Golgotha
Tumemuuza kwa mapeni
Tukasare uzima wa milele
Judas! Judas! Oh
Nyumbani kwenu kilio
Kiongozi anakula nyama
Ulipiga panga mwenzio
Ewa ewa ewa ewa
Ewa ewa eee!
Ewa ewa ewa ewa
Ewa ewa eee!
Ewa ewa ewa ewa
Ewa ewa eee!
Ewa ewa ewa ewa
Ewa ewa!
Ewa!
Ewa!
Ewa!
Ewa!
Ewa!
Ewa!
Ewa!
Ewa!
Droits parole : paroles officielles sous licence Lyricfind respectant le droit d'auteur.Reproduction des paroles interdite sans autorisation.