Daima - #Chanjokwawote est une chanson en Anglais
Koranahu waa kadeed
Qudha kaaba gooyeeee
Kukalsoonow warkiisiyoo
Caafimaad kalkaalaha
Kaftan iyo maaha dheele
Kudka wu ka daran yahay
Kalaamkii ilaaheeey
Adoo kaashanayaa
Dowlaadena Kenya
Iskajir iskajir karonaha
Umoja ni fahari yetu
Undugu ndio nguvu
Chuki na ukabila
Hatutaki hata kamwe
Lazima tuungane, tuijenge nchi yetu
Pasiwe hata mmoja
Anayetenganisha
Naishi, natumaini,
Najitolea daima kenya
Hakika ya bendera
Ni uthabiti wangu
Nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
Kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
Daima mi ni Mkenya
mwananchi mzalendo
Kwa uchungu na mateso
Kwa vilio na huzuni
Tulinyakuliwa uhuru
Na mashujaa wa zamani
Hawakushtushwa na risasi
Au kufungwa gerezani
Nia yao ukombizi
Kuvunja pingu za ukoloni
Naishi, natumaini,
Najitolea daima kenya,
Hakika ya bendera
Ni uthabiti wangu
Nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
Kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
Daima mimi
Wajibu wetu
Ni kuishi kwa upendo
Kutoka ziwa mpaka pwani
Kaskazini na kusini
Naishi, natumaini,
Najitolea daima Kenya,
Hakika ya bendera
Ni uthabiti wangu
Nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
Kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
Daima mi ni Mkenya
Mwananchi mzalendo
Serikali kuu na zile za kaunti
Serikali kuu na zile za kaunti
Toeni mgao kwa zenu bajeti
Toeni mgao kwa zenu bajeti
Chanjo tununue kuchanja wananchi
Chanjo tununue kuchanja wananchi
Natoa sauti yangu taarifa
Natoa sauti yangu taarifa
Huu ni wakati kuchanja taifa
Huu ni wakati kuchanja taifa
Kuna Kenya mbili..
Huyu ako kwa tracksuit anatembea kwa hiari
Na hawa wana treki inda juu ya hii hali
The kenya I have
The kenya I love
Unaeza tell na bracelet kwa wrist
Sio mtura kama ndani ina minced meat
2b or not 2b
Another day for gava kukua poetic
mvua ikianguka, fare inapanda
Usitume kwa ile ingine, tuma kwa hii number
Vijana na Kelele za Subaru
Parastatal jobs kwa Chopi wa gumbaru
Nganya kwa barabara
Wildebeest Maasai Mara
Diversity,
Isikuti
Nyatiti
Ama piano
Hawa like hizo njaro ni FOMO
Detergent zote ni OMO
Tuna smile na cavity
Justice na prosperity kwa umati
Raha tu pate, pate after pate na ustawi