song lyrics / Eric Wainaina / Mariana lyrics  | FRen Français

Mariana lyrics

Performer Eric Wainaina

Mariana song lyrics by Eric Wainaina official

Mariana is a song in Swahili

Mariana Mariana
Nimechoka kusota
Nimeamua leo ni leo
Nitabadili picha

Mariana Mariana
Niliomba unipe mwaka
Usitupe upendo wetu
Na usiamke kutoka ndoto yetu

Nilinunua baiskeli
Kupitia mkopo wa benki
Kusafirisha abiria
Lakini ili ibiwa

Mariana Mariana
Ulitafuta visa
Ya nchi ya Uropa
Utaniacha juu ya pesa

Hakuna atakayeweza
Kukupenda vile nakupenda
Najua upendo hauliwi
Lakini moyo haudanganywi

Nilinunua shamba
Na nilipanda mimea
Ya kuuza marikiti
Lakini ukame ukanirudisha magotini

Mariana Mariana
Nilikuwa nimechoka
Kwa vile umaskini
Utafanya unitoroke

Mariana Mariana
Nilikomboa bunduki
Niliamua leo ni leo
Nilikuwa na mpango mufti

Kama vile kwenye movie
Nilingia kwa benki
Nilisema lala chini
Nikajaziwa tikiti (oooooh)

Basi mimi ni huyo
Nikajivuta upesi
Nikauficha mzigo
Na nimeiba gari
Naenda mwendo kasi
Lakini kasi haishindi risasi
Zinanyesha kama mvua
Naomba Mungu atanipokea


Mariana
Ukiulizwa kwa nini
Kwa makumbusho yangu
Waelze nilikataa kuishi
Na matumaini pekee
Mariana Mariana
Jambo la mwisho
Kwa mizizi ya mti wetu
Nimekuachai zawadi
Ili usinitoroke
Lyrics copyright : legal lyrics licensed by Lyricfind.
No unauthorized reproduction of lyric.
Writer: Eric Wainaina

Comments for Mariana lyrics

Name/Nickname
Comment
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - All rights reserved. www.paroles-musique.com/eng/
Member login

Log in or create an account...

Forgot your password ?
OR
REGISTER
Select in the following order :
1| symbol at the bottom of the camera
2| symbol at the bottom of the star
3| symbol to the right of the clock
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid