song lyrics / Rose Muhando / Ndivyo Ulivyo lyrics  | FRen Français

Ndivyo Ulivyo lyrics

Performer Rose Muhando

Ndivyo Ulivyo song lyrics by Rose Muhando official

Ndivyo Ulivyo is a song in Swahili

Naona kama maono, kumbe ndivyo ulivyo,
Naona kama maono, kumbe ndivyo ulivyo,
Nilidhani 'kama ndoto, kumbe ndivyo ulivyo,
Nilifikiri nachanganyikiwa kwa kusema hivi, kumbe ndivyo ulivyo
Umekuwa mpole, umekuwa mwenye huruma, kumbe ndivyo ulivyo ooh,
Si mwepesi wa hasira, baba ni mwingi wa rehema, ndivyo ulivyo oh,
Wewe unatuwazia mema, kuliko tunavyodhani, ndivyo ulivyo,
Mawazo yako hayafanani na mawazo ya wanadamu, baba ndivyo ulivyo,
Nani kama wewe, mwepesi wa kusamehe, ndivyo ulivyo ooh,
Wema wako hauneneki katikati ya wanadamu Jehova,
Kumbe ndivyo ulivyo; Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo
Ooh ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga.

Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga

Tulia kwa Mungu, hushuka na kutufariji, Baba kumbe ndivyo ulivyo oh,
Usiku na mchana hulali husinzii Mungu uliye hai, ndivyo ulivyo ooh,
Pale tusipoweza kutenda wenyewe kwa mikono yetu Yehova, ndivyo ulivyo ooh,
Huingilia kati 'yale yote tunayoshindwa wewe ndivyo ulivyo,
Msaada wakati tunapochoka, Yehova Ndivyo ulivyo ooh;

Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga

Mungu uliwakusanya walioachwa, Ukawakumbatia baba ndivyo ulivyo,
Waliokosa tumaini weka tumaini jipya kwao, ndivyo ulivyo ooh,
Waliokata tamaa, wewe unawatia nguvu baba ndivyo ulivyo ooh,
Vile nionavyo mimi si kama utazamavyo baba kumbe ndivyo ulivyo oh,
Huruma zako zimevuka vilindi vya bahari, Mungu we eeh kumbe ndivyo ulivyo,
Hakuna Kupinga;

Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Lyrics copyright : legal lyrics licensed by Lyricfind.
No unauthorized reproduction of lyric.

Comments for Ndivyo Ulivyo lyrics

Name/Nickname
Comment
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - All rights reserved. www.paroles-musique.com/eng/
Member login

Log in or create an account...

Forgot your password ?
OR
REGISTER
Select in the following order :
1| symbol to the left of the house
2| symbol to the right of magnifying glass
3| symbol to the left of the camera
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid