paroles de chanson / Rose Muhando parole / Ndivyo Ulivyo lyrics  | ENin English

Paroles de Ndivyo Ulivyo

Interprète Rose Muhando

Paroles de la chanson Ndivyo Ulivyo par Rose Muhando lyrics officiel

Ndivyo Ulivyo est une chanson en Swahili

Naona kama maono, kumbe ndivyo ulivyo,
Naona kama maono, kumbe ndivyo ulivyo,
Nilidhani 'kama ndoto, kumbe ndivyo ulivyo,
Nilifikiri nachanganyikiwa kwa kusema hivi, kumbe ndivyo ulivyo
Umekuwa mpole, umekuwa mwenye huruma, kumbe ndivyo ulivyo ooh,
Si mwepesi wa hasira, baba ni mwingi wa rehema, ndivyo ulivyo oh,
Wewe unatuwazia mema, kuliko tunavyodhani, ndivyo ulivyo,
Mawazo yako hayafanani na mawazo ya wanadamu, baba ndivyo ulivyo,
Nani kama wewe, mwepesi wa kusamehe, ndivyo ulivyo ooh,
Wema wako hauneneki katikati ya wanadamu Jehova,
Kumbe ndivyo ulivyo; Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo
Ooh ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga.

Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga

Tulia kwa Mungu, hushuka na kutufariji, Baba kumbe ndivyo ulivyo oh,
Usiku na mchana hulali husinzii Mungu uliye hai, ndivyo ulivyo ooh,
Pale tusipoweza kutenda wenyewe kwa mikono yetu Yehova, ndivyo ulivyo ooh,
Huingilia kati 'yale yote tunayoshindwa wewe ndivyo ulivyo,
Msaada wakati tunapochoka, Yehova Ndivyo ulivyo ooh;

Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga

Mungu uliwakusanya walioachwa, Ukawakumbatia baba ndivyo ulivyo,
Waliokosa tumaini weka tumaini jipya kwao, ndivyo ulivyo ooh,
Waliokata tamaa, wewe unawatia nguvu baba ndivyo ulivyo ooh,
Vile nionavyo mimi si kama utazamavyo baba kumbe ndivyo ulivyo oh,
Huruma zako zimevuka vilindi vya bahari, Mungu we eeh kumbe ndivyo ulivyo,
Hakuna Kupinga;

Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Ndivyo ulivyo, ndivyo ulivyo Ooh
Ndivyo ulivyo, Hakuna Kupinga
Droits parole : paroles officielles sous licence Lyricfind respectant le droit d'auteur.
Reproduction des paroles interdite sans autorisation.

Commentaires sur les paroles de Ndivyo Ulivyo

Nom/Pseudo
Commentaire
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - Tous droits réservés. www.paroles-musique.com
Connexion membre

Se connecter ou créer un compte...

Mot de passe oublié ?
OU
CREER COMPTE
Sélectionnez dans l'ordre suivant :
1| symbole à gauche du smiley
2| symbole en haut du cadenas
3| symbole à gauche de la loupe
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid