paroles de chanson / Rose Muhando parole / Kitimutimu lyrics  | ENin English

Paroles de Kitimutimu

Interprète Rose Muhando

Paroles de la chanson Kitimutimu par Rose Muhando lyrics officiel

Kitimutimu est une chanson en Swahili

Nawauliza ninyi sasa mnaojikweza,
Hivi kweli mnajua ni nini mwisho mwisho wa maisha yenu?
Mnakula, mnakunywa lakini mbona hamfikirii?
Majigambo na dharau mi ubatili mtupu
Nawauliza ninyi sasa mnaojikweza,
Hivi kweli mnajua ni nini mwisho mwisho wa maisha yenu?
Mnakula, mnakunywa lakini mbona hamfikirii?
Majigambo ... na dharau ni ubatili mtupu!

Mwawadharau masikini wasiojiweza;
Neno lake Bwana Mungu ni upuuzi kwenu;
Mwawadharau Wahubiri wanapohubiri;
Injili yake Bwana Mungu ni upuuzi kwenu
Eti!
Mwajidanganya mwasema ponda mali
Kufa kwaja mmebobea kwenye dhambi kama wapumbavu
Vipofu msioijua njia mnayoiendea
Sasa geukeni!

Poleni kwenu sasa kwa kuwa mmehubiriwa
(Furaha) Furaha mliyo nayo itageuka msiba kwenu
(Chakula) Chakula cha anasa kitageuka mwamba wenu
(Sekese) Sekeseke kwa matajiri mwajipata mwalipwa pesa zenu
Poleni kwenu sasa kwa kuwa mmehubiriwa
(Furaha) Furaha mliyo nayo itageuka msiba kwenu
(Chakula) Chakula cha anasa kitageuka mwamba wenu
(Sekese) Sekeseke kwa matajiri mwajipata mwalipwa pesa zenu
(Visambutu)Kisambu kwa wake zenu wa mashabiki jinsi tabia Eeeeh

Walikuwepo matajari kama wewe
Wametoweka
Ni wazuri sana(ila sasa) lakini wako wapi sasa
Hawako tena
Walikuwepo una wasomi kama wewe
Wametoweka
Ni wazuri sana(ila sasa) lakini wako wapi sasa
Hawako tena
Kilikuwepo na warembo kama wewe
Walitoweka
Ni wazuri sana (ila sasa) lakini wako wapi sasa
Hawako tena
Walikuwepo kwa waimbaji kama mimi Rose
Wametoweka
Ni wazuri sana (ila sasa) lakini wako wapi leo

Hawako tena
Lakini Yesu kwa huruma anakubembeleza Yesu eh
Yesu yupo msalabani alisema njooni kwangu
Nitawasamehe dhambi
Nitabeba mizigo yenu
Ogopa kitimutimu
Siku yakuja kuuliwa
Yesu yupo msalabani
Anasema njooni kwangu
Nitawasamehe dhambi
Nitabeba mizigo yenu
Ogopa kitimutimu
Siku yakuja kuuliwa
Kasheeshe kwa watakaobaki kwenye viti kuu

Dunia hii isikudanganye Mama (Uelewe)
Anasa zote za dunia ni za muda
Halleluyah
Muamini Yesu Bwana wangu akuokoe
Uelewe
Yeye ni Bwana tena mueza wa yote
Halleluhya

Dunia hii isikudanganye Baba (Uelewe)
Anasa za dunia zote zinapitaga
Halleluyah
Muamini Yesu Bwana wangu akusamahe
Uelewe
Yeye ni Bwana tena mueza wa yote
Halleluhya
Tazama
Yesu kwa huruma anakubembeleza Yesu eh
Yesu yupo msalabani alisema njooni kwangu
Nitawasamehe dhambi
Nitabeba mizigo yenu
Ogopa kitimutimu
Siku yakuja kuuliwa

Yesu yupo msalabani
Anasema njooni kwangu
Nitawasamehe dhambi
Nitabeba mizigo yenu
Ogopa kitimutimu
Siku yakuja kuuliwa
Kasheeshe kwa watakaobaki kwenye viti kuu
Droits parole : paroles officielles sous licence Lyricfind respectant le droit d'auteur.
Reproduction des paroles interdite sans autorisation.

Commentaires sur les paroles de Kitimutimu

Nom/Pseudo
Commentaire
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - Tous droits réservés. www.paroles-musique.com
Connexion membre

Se connecter ou créer un compte...

Mot de passe oublié ?
OU
CREER COMPTE
Sélectionnez dans l'ordre suivant :
1| symbole en bas de l'horloge
2| symbole à gauche de l'enveloppe
3| symbole en bas de la croix
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid