Waheshimiwe Wazazi est une chanson en Swahili
Nakukumbusha utoto wako
Ukiwa hauna lolote
Ulihitaji ulinzi
Ndipo upate kukua
Wazazi wetu walifanya chochote kuhakikisha tumefaulu
Sasa ni wakati wetu tuweze kuwakumbuka ohhh
Chorus
Waheshimiwe maana hawa ni wazazi wetu
Waeshimiwe wametutendea makubwa
Tuwakumbuke katika hali ya uzee wao
Tuwakumbuke tuweze kupata baraka
Waheshimiwe maana hawa ni wazazi wetu
Waeshimiwe wametutendea makubwa
Tuwakumbuke katika hali ya uzee wao
Tuwakumbuke tuweze kupata baraka
Chanting
Tuwakumbuke mama zetu walivyojitolea
Tukiwa ni wadogoo walivyotungarisha
We ukidhani umeshiba
Yeye ashajua haupo sawa
cnajaribu njia zote kuhakikisha u buheri wa afya
Tuwakumbe baba zetu wanavyo tia bidii
Wakifanya vibarua kuhakikisha tumeipata elimu
Na baada ya hayo yote wanapiga magoti na kutuombea
Bwana afungue njia ili tuweze fanikiwa
Chorus
Waheshimiwe maana hawa ni wazazi wetu
Waeshimiwe wametutendea makubwa
Tuwakumbuke katika hali ya uzee wao
Tuwakumbuke tuweze kupata baraka
Waheshimiwe maana hawa ni wazazi wetu
Waeshimiwe wametutendea makubwa
Tuwakumbuke katika hali ya uzee wao
Tuwakumbuke tuweze kupata baraka
Biblia takatifu nayo inayofundisha wazii iii
Kuwakumbuka wazazi ohh kuwaheshimu siku zote duniani
Ndio amri pekee iliyo na ahadi ya Mungu
Tuwakumbuke wazazi na siku zetu zitapata ongezeka duniani
Yakadirie haya
Wazazi wako wasijute juu yako
Wazazi wako we wee
Wazazi wako wasilie juu yako
Ujihadhali kaka yangu
Wazazi wako wasiseme mabaya
Waombee dada we eee
Wazazi watamke baraka
Yakadirie haya
Wazazi wako wasijute juu yako
Hakikisha ndugu yangu
Wazazi wako wasilie juu yako
Ohh tahadahali dada wee
Wazazi wako wasiseme mabaya
Ohh wazazi wako..
Wazazi watamke baraka...
Yakadirie haya
Wazazi wako wasijute juu yako
Wazazi wako we wee
Wazazi wako wasilie juu yako
Ujihadhali kaka yangu
Wazazi wako wasiseme mabaya
Waombee dada we eee
Wazazi watamke baraka
Yakadirie haya
Wazazi wako wasijute juu yako
Hakikisha ndugu yangu
Wazazi wako wasilie juu yako
Ohh tahadahali dada wee
Wazazi wako wasiseme mabaya
Ohh wazazi wako..
Wazazi watamke baraka...