Bwana Ni Mchungaji Wangu est une chanson en Swahili
Bwana ni mchungaji wangu
Sitapungukiwa kitu chochotee....
Bwana ni mchungaji wangu
Sitapungukiwa kitu chochotee....
Hunilaza kwenye majani mabichi
Hunongoza kwa maji matulivu
Hunilaza kwenye majani mabichi
Hunongoza kwa maji matulivu
Hunihuisha nafsi yangu
Hunongoza kwa njia za haki
Nipitapo bondeni mwa mauti
Sitaogopa maana ye yu nami
Hakika wema nazo (wema nazo)
Fadhili zitanifuata (Zitanifuata)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (Mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote (Hakika)
Hakika wema nazo (Wema nazo)
Fadhili zitanifuata (Zitanifuata)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote
Gongo lako na fimbo yako vyanifariji
Mimi mwana wako
Waandaa meza mbele yangu
Machoni pa watesi wangu
Machoni pa wasiwanguu..
Hakika wema nazo (wema)
Fadhili zitanifuata
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (Mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote (Hakika)
Hakika wema nazo (wema nazo)
Fadhili zitanifuata (Zitanifuata)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote...
Nakualika ewe rafiki yangu
Uje uwe kondoo wake
Yeye ni mlinzi mwema
ctakulinda siku sote
Hatakuacha kamwe
Hadi mwisho wa dahari
Hadi mwisho wa dahari
Hakika wema nazo (wema nazo)
Fadhili zitanifuata (zitanifuata)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (Mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote (hakika)
Hakika wema nazo (wema nazo)
Fadhili zitanifuata (zitanifuata mimi)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu ( mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote (hakika)
Hakika wema nazo (wema nazo...)
Fadhili zitanifuata (..tanifuata)
Nitakaa nyumbani mwa baba yangu (mwa baba yangu)
Siku za maisha yangu yote (..aa maisha yangu yote)