song lyrics / Jay Melody / 18 lyrics  | FRen Français

18 lyrics

Performer Jay Melody

18 song lyrics by Jay Melody official

18 is a song in Swahili

Nilipanga nitapenda nikifika miaka 20
Hivi sasa 18 sijui nimepatwa nini
Kuna mtu nampenda lakini sijiamini
Sio kama najua sana kwamba mapenzi ni nini

Ananitoa kwenye malengo
Sikupanga kuingia kwenye maupendo
Ananitoa kwenye malengo
Vitu vyake navutiwa kila engo
Oh mimi

Tafadhali moyo wangu
Haya mapenzi dhahabu
Tafadhali kweli moyo wangu
Haya mapenzi yangu dhahabu

Bado najiuliza kama ana hisi
Nnavyo hisi
Ila najua kua hivyo sio rahisi
Na mi mgeni wa mapenzi nisije
Nikaitiwa police
Nikaumbuka nikachukia mapenzi

Penzi oooh penzi oooh
Usiniumbue mwenzio
Nikaanza na kilio
Eti ndo kiinglio

Ananitoa kwenye malengo
Sikupanga kuingia kwenye maupendo
Ananitoa kwenye malengo
Vitu vyake navutiwa kila engo
Oh mimi

Tafadhali (we tafa) moyo wangu (we moyo)
Haya mapenzi dhahabu (tafa we)
Tafadhali kweli moyo wangu(oh moyo)
Haya mapenzi yangu dhahabu

Ololoooo mmmh dhahabu
Ooonhooo mmmh dhahabu
Once again"
Lyrics copyright : legal lyrics licensed by Lyricfind.
No unauthorized reproduction of lyric.

Comments for 18 lyrics

Name/Nickname
Comment
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - All rights reserved. www.paroles-musique.com/eng/
Member login

Log in or create an account...

Forgot your password ?
OR
REGISTER
Select in the following order :
1| symbol at the top of the heart
2| symbol at the bottom of the helmet
3| symbol to the left of the envelope
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid