paroles de chanson / Jay Melody parole / 18 lyrics  | ENin English

Paroles de 18

Interprète Jay Melody

Paroles de la chanson 18 par Jay Melody lyrics officiel

18 est une chanson en Swahili

Nilipanga nitapenda nikifika miaka 20
Hivi sasa 18 sijui nimepatwa nini
Kuna mtu nampenda lakini sijiamini
Sio kama najua sana kwamba mapenzi ni nini

Ananitoa kwenye malengo
Sikupanga kuingia kwenye maupendo
Ananitoa kwenye malengo
Vitu vyake navutiwa kila engo
Oh mimi

Tafadhali moyo wangu
Haya mapenzi dhahabu
Tafadhali kweli moyo wangu
Haya mapenzi yangu dhahabu

Bado najiuliza kama ana hisi
Nnavyo hisi
Ila najua kua hivyo sio rahisi
Na mi mgeni wa mapenzi nisije
Nikaitiwa police
Nikaumbuka nikachukia mapenzi

Penzi oooh penzi oooh
Usiniumbue mwenzio
Nikaanza na kilio
Eti ndo kiinglio

Ananitoa kwenye malengo
Sikupanga kuingia kwenye maupendo
Ananitoa kwenye malengo
Vitu vyake navutiwa kila engo
Oh mimi

Tafadhali (we tafa) moyo wangu (we moyo)
Haya mapenzi dhahabu (tafa we)
Tafadhali kweli moyo wangu(oh moyo)
Haya mapenzi yangu dhahabu

Ololoooo mmmh dhahabu
Ooonhooo mmmh dhahabu
Once again"
Droits parole : paroles officielles sous licence Lyricfind respectant le droit d'auteur.
Reproduction des paroles interdite sans autorisation.

Commentaires sur les paroles de 18

Nom/Pseudo
Commentaire
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - Tous droits réservés. www.paroles-musique.com
Connexion membre

Se connecter ou créer un compte...

Mot de passe oublié ?
OU
CREER COMPTE
Sélectionnez dans l'ordre suivant :
1| symbole à droite de la calculatrice
2| symbole en bas de la loupe
3| symbole à droite de l'enveloppe
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid