song lyrics / Israel Mbonyi / Nita Amini lyrics  | FRen Français

Nita Amini lyrics

Performer Israel Mbonyi

Nita Amini song lyrics by Israel Mbonyi official

Nita Amini is a song in English

Sasa naapa Hakuna miungu ntaamini
Satajitia unajisi , Chakula cha ufalme
Na Sitauza urithi wa wokovu, anasa za Kisasa
NiNa uhakika waweza , waweza kuniponya,
Hata usipo niponya Sitaabudu Masanamu

Naelewa maji na moto nitapita, Kwenye uvuli wa mauti
Nina wewe sitaogopa kamwe
Mungu wangu wanishika mkono,Wautuliza moyo wangu,
Si na mashaka wanibeba mgongoni
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote
Bado nitaamini

Si Mara y'a kwanza kunitowa katika magumu
Ni na ushuhuda zaidi ya moja, We ni mwaminifu
Ni na historia maalum,We ni chemchemi ya uzima.

Nitaamini, bado nitaamini
Ukiniponya nitaamini, Hata usiniponye bado nitaamini
Ukinijibu nitaamini , Hata usinijibu bado nitaamini
Ukibadilisha nitaamini , Hata usibadilishe bado nitaamini
Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
Nina ushuhuda, wewe ni mwaminifu
Shorts remixing this video
Lyrics copyright : legal lyrics licensed by Lyricfind.
No unauthorized reproduction of lyric.
Writer: Israel Mbonyicyambu
Copyright: O/B/O DistroKid

Comments for Nita Amini lyrics

Name/Nickname
Comment
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - All rights reserved. www.paroles-musique.com/eng/
Member login

Log in or create an account...

Forgot your password ?
OR
REGISTER
Select in the following order :
1| symbol at the bottom of the heart
2| symbol to the right of the television
3| symbol at the bottom of the helmet
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid