paroles de chanson / Sam Silver parole / Homa lyrics  | ENin English

Paroles de Homa

Interprète Sam Silver

Paroles de la chanson Homa par Sam Silver lyrics officiel

Homa est une chanson en Swahili

Mapezi yanaumiza
mapezi yanaliza nimekoma
Ninahoshindwa kujiuliza
furaha kaichukua haina noma
Najiuliza kwanini umeniadhibu bila kosa
Au kisa umaskini au nini kimeniponza
Si ulisema we dawa haya
sasa mbona mbona umenikanana nanana
ulivyofanya sio sawa haya moyo umeumiza sana
Si ulisema we dawa haya
sasa mbona mbona umenikanana nanana
ulivyofanya sio sawa haya moyo umeumiza sana
Homa ya penzi bora malaria ukiumwa utapona
Kuliko machozi kila siku afadhari ya jana
Nani wakunipenda nikapona homa ya penzi
Nikasahau walionitenda nitukana nikatokwa na machozi


Nilijua tiba kumbe mwiba amenichoma moyoni
Ameguaka simba ananiwinda kila siku pendoni
Amani haipo tena imepotea
Yule mpenzi wa kweli ameolewa
Ameniacha mkiwa amenioenea
Baharini bila boya vipi nitaelea
Ohoo beib beib
Si ulisema we dawa haya
sasa mbona mbona umenikanana nanana
ulivyofanya sio sawa haya moyo umeumiza sana
Si ulisema we dawa haya
sasa mbona mbona umenikanana nanana
ulivyofanya sio sawa haya moyo umeumiza sana
Homa ya penzi bora malaria ukiumwa utapona
Kuliko machozi kila siku afadhari ya jana
Nani wakunipenda nikapona homa ya penzi
Nikasahau walionitenda nitukana nikatokwa na machozi
Droits parole : paroles officielles sous licence Lyricfind respectant le droit d'auteur.
Reproduction des paroles interdite sans autorisation.

Commentaires sur les paroles de Homa

Nom/Pseudo
Commentaire
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - Tous droits réservés. www.paroles-musique.com
Connexion membre

Se connecter ou créer un compte...

Mot de passe oublié ?
OU
CREER COMPTE
Sélectionnez dans l'ordre suivant :
1| symbole à gauche du cadenas
2| symbole en haut de la cible
3| symbole à droite de l'appareil photo
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid