paroles de chanson / Pryshon parole / Usiku Na Mchana lyrics  | ENin English

Paroles de Usiku Na Mchana

Interprète Pryshon

Paroles de la chanson Usiku Na Mchana par Pryshon lyrics officiel

Usiku Na Mchana est une chanson en Anglais

Nikikuona,
Na yule mwingine,
Moyo wangu wazama,
Nabaki kushika tama,
Ninapowaza,
Tulivyopendana,
Machozi yanijaa sana,
Cha kufanya mi sina,
Milima na mabonde nimepanda,
Nikikuomba msamaha,
Sikutaraji utaniacha,
Najuta nilivyokutenda,


Penzi letu laana,
Twashinda tukizozana,
Ni kweli mnapendana,
Lakini bado nakuwaza


Usiku na mchana, mchana, mchana, mchana (aaahhh aaahhh) x2


Nyumbani kwetu wote wakuulizia (wakuulizia),
Nashindwa cha kusema, nanyamazia (nanyamazia),
Makosa yangu mimi (mimi),
Watanisema vipi (vipi),
Ulivyonidhamini (mimi),
Ulinipenda kweli,
Moyo wako kanigeuka,
Penzi lako kamalizika,
Nafasi zote ulizonipa,
Mimi zote nikapuuza,
Ohhh, najuta


Penzi letu laana,
Twashinda tukizozana,
Ni kweli mnapendana,
Lakini bado nakuwaza


Usiku na mchana, mchana, mchana, mchana (aaahh aaahhh) x2


Bado nakuwaza kila siku baby,
Bado nakutaka kila time honey,
Ingali nakupenda na si utani,
Swali ni kama utanikubali,
Bado nakuwaza kila siku baby,
Bado nakutaka kila time honey,
Ingali nakupenda na si utani,
Swali ni kama utanikubali,
Yeah yeah, utanikubali,
(Yeahhhh)


Usiku na mchana, mchana, mchana, mchana (aaahh aaahhh) x2
Droits parole : paroles officielles sous licence Lyricfind respectant le droit d'auteur.
Reproduction des paroles interdite sans autorisation.

Commentaires sur les paroles de Usiku Na Mchana

Nom/Pseudo
Commentaire
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - Tous droits réservés. www.paroles-musique.com
Connexion membre

Se connecter ou créer un compte...

Mot de passe oublié ?
OU
CREER COMPTE
Sélectionnez dans l'ordre suivant :
1| symbole en bas du pouce en l'air
2| symbole à gauche de la calculatrice
3| symbole en haut du casque
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid