paroles de chanson / Joel Lwaga parole / Umenikubali lyrics  | ENin English

Paroles de Umenikubali

Interprète Joel Lwaga

Paroles de la chanson Umenikubali par Joel Lwaga lyrics officiel

Umenikubali est une chanson en Anglais

DG
Kama Mungu ungetazama
Kama watu tunavyotazama
Nisingetosha kwenye mizani
Nisingekidhi masharti
Hukuangalia historia ya familia niliyotokea
Hazikukutisha zangu tabia ulilitazama lililo Jema
Umenipenda nisiyestahili
Umeniita mwanao
Niliyejidhani ya kuwa sifai
Umenipenda upeo
Umebadilisha na yangu asili
Umenifanya mboni ya jicho lako
Mmmmmmh
Ungehitaji walio kamili
Mimi si mmoja wao
Ulichojali wangu utayari wa kufanya utakalo
Umenikabidhi na zako siri
Na kunifanya rafiki wa moyo wako
Bwana Umenikubali
Jinsi nilivyo
Umenikubali
Jinsi nilivyo
Eeeeh
Umeona jema ndani yangu
Na wala hukutazama unyonge wangu
Bwana umenikubali
Jinsi nilivyo
Umenikubali
Jinsi nilivyo
Bwana
Umeona jema ndani yangu
Na wala hukutazama unyonge wangu
Kuna muda najiuliza
Wewe ni Mungu
Wa namna gani
Uliyenipenda na kunikubali
Mtu wa namna hii
Ziko nyakati hata mimi
Napata shida kujikubali
Iweje wewe unipende
Mtu wa namna hii
Eeeeeeh
Umenipenda nisiyestahili
Umeniita mwanao
Niliyejidhani ya kuwa sifai
Umenipenda upeo
Umebadilisha na yangu asili
Umenifanya mboni ya jicho lako
Eh Bwana
Ungehitaji walio kamili
Mimi si mmoja wao
Ulichojali wangu utayari wa kufanya utakalo
Umenikabidhi na zako siri
Na kunifanya rafiki wa moyo wako
Baba umenikubali
Jinsi nilivyo
We umenikubali
Jinsi nilivyo
Eeeh Bwana
Umeona jema ndani yangu
Na wala hukutazama unyonge wangu
Baba umenikubali
Jinsi nilivyo
Umenikubali
Jinsi nilivyo
Maana
Umeona jema ndani yangu
Na wala hukutazama unyonge wangu
Asanteee
Asanteee
Baba Asantee
Asantee
We maana maana
Umeona jema ndani yangu
na wala hukutazama unyonge wangu
Asanteee
Baba asantee
Asantee
Maana maana
Umeona jema ndani yangu
Na wala hukutazama unyonge wangu
Asanteee
Asanteee
Kweli Asantee
Asantee
Baba umeona jema ndani yangu
Na wala hukutazama unyonge wangu
Kweli Bwana umenikubali
Jinsi nilivyo
Umenikubali
Jinsi nilivyo
Si kama wanadamu
Umeona jema ndani yangu
Na wala hukutazama unyonge wangu
Droits parole : paroles officielles sous licence Lyricfind respectant le droit d'auteur.
Reproduction des paroles interdite sans autorisation.
Auteur: Joel Lwaga
Copyright: O/B/O DistroKid

Commentaires sur les paroles de Umenikubali

Nom/Pseudo
Commentaire
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - Tous droits réservés. www.paroles-musique.com
Connexion membre

Se connecter ou créer un compte...

Mot de passe oublié ?
OU
CREER COMPTE
Sélectionnez dans l'ordre suivant :
1| symbole en bas de la poubelle
2| symbole à gauche du cadenas
3| symbole en haut de la croix
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid