paroles de chanson / Dj Kezz parole / Tenda lyrics  | ENin English

Paroles de Tenda

Interprète Dj Kezz

Paroles de la chanson Tenda par Dj Kezz lyrics officiel

Tenda est une chanson en Swahili

Ohh oh oh! yeah!
they call me Dj Kezz...

Ulisema Nikuite Utaitika,
Utanionesha mambo magumu tena makubwa,
Ulisema Njooni nyote msumbukao na kulemewa
Na Mizigo yetu tupumzike.
Nimekuja Mbele Zako Bwana,
Magoti nimepiga siwezi kusimama,
Ninacho omba tu Uniskize bwana,
vita yangu ni kubwa bwana,
Ndio maana ninashindwa kusimama,
niondolee hii aibu Bwana.

Nakwamini, nakwamini wewe tu,
nakwamini oh oh oh oh!
Mwaminifu, Mwaminifu yesu tu,
Mwaminifu, ninakuamini


Tenda, Tenda, Tenda Bwana ( Niendee na mimi )
Tenda, Tenda Bwana ( Usinipite )
Tenda, Tenda Tenda Bwana (unapozuru wengine )
Tenda, Tenda Bwana!


Hii ni haja ya moyo wangu, nikutane na nguvu zako,
Ubadili maisha yangu, Niifanye na kazi yako,
pasipo na mawaa wala kujidai baba,
Hilo ni Ombi langu, Ebu Tenda Baba,
mengi yamenijaa na pa kwenda Sina,
nakimbilia kwako, Nitendee Ninaomba

Nakwamini, nakwamini wewe tu,
nakwamini oh oh oh oh!
Mwaminifu, Mwaminifu yesu tu,
Mwaminifu, ninakuamini


Tenda, Tenda, Tenda Bwana ( Niendee na mimi )
Tenda, Tenda Bwana ( Usinipite )
Tenda, Tenda Tenda Bwana (unapozuru wengine )
Tenda, Tenda Bwana!


Hii ni haja ya moyo wangu, nikutane na nguvu zako,
Ubadili maisha yangu, Niifanye na kazi yako,
pasipo na mawaa wala kujidai baba,
Hilo ni Ombi langu Ebu Tenda Baba!
Droits parole : paroles officielles sous licence Lyricfind respectant le droit d'auteur.
Reproduction des paroles interdite sans autorisation.

Commentaires sur les paroles de Tenda

Nom/Pseudo
Commentaire
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - Tous droits réservés. www.paroles-musique.com
Connexion membre

Se connecter ou créer un compte...

Mot de passe oublié ?
OU
CREER COMPTE
Sélectionnez dans l'ordre suivant :
1| symbole en bas du smiley
2| symbole à droite de l'étoile
3| symbole à gauche du cadenas
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid