Unashida Gani? is a song in Swahili
Touch (Touch)
Una shida gani
Una shida gani
Una shida gani
Unapiga simu huongei,
Una shida gani
Ukipigiwa Hupokei
Mwenzetu Una shida gani
Naona umenitext mbona umefuta message
Una shida gani
Good morning jirani salamu kitu cha bure
Una shida gani
Unadanganya watu unatoka na Vicky, wee
Hutaacha lini mambo ya kiki,
Hata kwenye ugomvi unakuwa shabiki,
Haubadi.....liki, hauambi...liki
Una shida gani
Naskia walishatoa na posa
Na za chinichini unapanga kumtosa
Kila kukicha unalia na mwamposa na unajua anawapanga kwenye dosa
Mwenzetu una shida gani
Una shida gani
Una shida gani
Plan A B na C (plan A B na C)
Jina Krg (jina Krg)
You’re the one who hate me
Mi hata sikufikiri wala sikufatili
Am to pm umekaa kaa
Kula kulala kujamba ja nja
Kesho unalialia njaa kwa mitaa we jamaa na jana ulikesha bar
(Skia)
All I need is 1 mic Ziggy Dee
Naongea na wakenya waniski
Naongea na serikali uchumi ni zii
Kwenye nchi hii (eh)
kunashida gani
Haya maisha hayataki utani
Haya maisha yanataka ramani
Vipi? Unachoma majani,unasoma gaziti gani
Mbona hautoki msalani huko ndani?
Kunashida Gani?
Unapiga simu huongei,
Una shida gani
Ukipigiwa Hupokei
Mwenzetu Una shida gani
Naona umenitext mbona umefuta message
Una shida gani
Good morning jirani salamu kitu cha bure
Una shida gani
Ntakuja kuua jitu siku mtaskia
Unatabia tabia ngumu kuvumilia
Indicator kushoto unakata kulia
Kua makini sana weka macho kwenye njia
Na njie wenye majipu mkae kwa kutulia
Doctor nakuja na majibu kuwahudumia
Ukitaka viboko nakucharazia
Ukileta utoto nakukanyagia eh!
Mbona kichwa kimepinda pinda unashida gani?
Mbona mambo ya kijinga jinga unashida gani?
Plan A B na C