song lyrics / Dope-I-Mean / Dope-I-Mean ( Intro ) lyrics  | FRen Français

Dope-I-Mean ( Intro ) lyrics

Performer Dope-I-Mean

Dope-I-Mean ( Intro ) song lyrics by Dope-I-Mean official

Dope-I-Mean ( Intro ) is a song in Swahili

(Haha)
I say oooh
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Flow ni kama soo I mean
(Ooh)
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Wanataka Dope-I-mean
N*ggas wanna know my fee
This the sh*t you cant afford
Opps ni kama AFC
Me na squad yangu kama Gor
Betting you can bet on me
This the sh*t you cant ignore
Nawacheki kwa TV
Nimenyamaza for far too long
Hii game ilidai tu kichwa
Lakini mimi nani nikapush
Hapa nikuseti tu mambichwa
Mambleina niliwaachia mabush
The boy too fly nawapita
Niko juu yenu kama dush
Hii ngoma kuna mahali inawashika
Na mtadarwa kwote ka mafrush
(Haha)
Washamba nyi wote yaani
Ata siamini
Roy unaeza amini vile hawa wasee wanabonga yaani?
Ati ju nimenyamaza kiasi
Mafala nyi wote
Kidole cha kati nimejam
Hizo ngoma zenu ni haram
Pigwa na mistari kama gram
Ukinitukana umebant
Nilishawasoma nikacram
F*cking up the game na me si cum
Ngeus amebeba hiyo drum
Naipiga beby giving them a run
(Oohh)
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Flow ni kama soo I mean
(Ooh)
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Wanataka Dope-I-mean
Nyi marapper wote mmepaka
Dope-I-Mean ndio kitu wanataka
Step up in the booth and go blakka
Shorty got a cake na me naikata
N*ggas wanna talk about who now?
Huyo achana naye namtoka
I came back they don’t know what to do now?
Me acheni jo nipige mboka
(Ooh)
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Flow ni kama soo I mean
(Ooh)
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Wanataka Dope-I-mean
Lyrics copyright : legal lyrics licensed by Lyricfind.
No unauthorized reproduction of lyric.

Comments for Dope-I-Mean ( Intro ) lyrics

Name/Nickname
Comment
Copyright © 2004-2024 NET VADOR - All rights reserved. www.paroles-musique.com/eng/
Member login

Log in or create an account...

Forgot your password ?
OR
REGISTER
Select in the following order :
1| symbol to the right of the camera
2| symbol to the right of the cloud
3| symbol to the right of the suitcase
grid grid grid
grid grid grid
grid grid grid